SAMRICH
sam THE don
Saturday, June 4, 2011
duuu hadi wanafunzi wa o level level wapo facebook badala ya kusoma vitabu wapo busy wana coment i dislike it and not for education purpoose
duu inatia huruma sana kuona wanafunzi wetu wa o level badala ya ku soma wapo bize in charting duuuuu
Friday, June 3, 2011
WASANII WA BONGO PUNGUZENI PLAYBACK
Hakuna kitu kinanikera kama msanii kuimba na kufuatisha tu yaani'playback'.kiukwel tukitaka active performance ya wasanii wetu kupitia play back hatuwezi kupata.Naongea hayo nikiwa na ushahidi tosha kwan hvi karibun hapa moshi kulikuwa na kili music awards performance.Yaliyojiri yalinikera sana kwan hakuna msanii aliyetaka kuimba bila playback.Watanzania pia walichoka na kuhamia katika scrin kubwa apo uwanjan na kuchek mpira kati ya man u na barca.jaman embu check performance za mamton alafu relate na za bongo utakuta kuna tofaut sana katika performance ivi tanzania tumekosa nini?daaaaaaaah
Halaaaa its furahiiiii day!!!
We jamaa niaje bhana mambo vp!nakutakia ijumaa njema au sio bhana bro nick pande za sua!wana mwuce wote wakiongozwa na benito,ndauka,humpry,colman,mosco,clemence,rick,sagwa na waskaji wote yani ni furahiiiiii day!
Wednesday, May 18, 2011
EMBU USIIKOSE HII BLOG BHANA DAILY
OYOO mambo vipi watu wangu.napenda kukutaarifu kuwa usikose kupitia hii blog kidizaini vile coz itakuwa hot na madude ya kutosha FUUUL SWAAAAAGZ
Subscribe to:
Comments (Atom)